Solomonitv brog ni Brog ya kisasa itakayo kuhabarisha habari zote katika Dunia hii,Kwa matangazo zaidi husisite kuwasiliana nami maana Bei ni nafuu sana habari whatsapp No +255 624 499 969 Au +255 759 290 764

UCHAMBUZI MGOGORO WA AFGHANISTAN


Wachambuzi wanasema mgogoro wa Afghanistan unaweza kuwa mbaya zaidi duniani kuliko hata wa Syria, wakati vurugu zikiendelea miaka 17 tokea uvamizi uliongoozwa na Marekani. Graeme Smith, mshauri wa Kimataifa wa Kundi linaloshughulikia Migogoro, ameliambia shirika la habari la AFP kwamba baadhi ya dalili zinaonyesha kuwa vita vya Afghanistan vinaweza kusababisha vifo vya watu zaidi ya 20,000 mwaka huu pekee, ikiwa ni pamoja na raia wa kawaida na wapiganaji. Ripoti ya hivi karibuni ya Umoja wa Mataifa imeonyesha kwamba vita vya Afghanistan vineshasababisha vifo vya raia wapatao 1,692 katika miezi sita ya mwanzo ya mwaka huu.
Solomoni tv 
Share:

Related Posts:

0 comments:

Post a Comment