Solomonitv brog ni Brog ya kisasa itakayo kuhabarisha habari zote katika Dunia hii,Kwa matangazo zaidi husisite kuwasiliana nami maana Bei ni nafuu sana habari whatsapp No +255 624 499 969 Au +255 759 290 764

MAPIGANO YAZUKA SUDANI KUSINI


Mapigano yamezuka Sudan Kusini siku mbili baada ya pande zinazozozana nchini humo kusaini kile serikali ilichokieleza kama makubaliano ya mwisho ya kumaliza vita vya wenyewe kwa wenyewe. Kila upande unaulaumu mwengine kwa mashambulizi hayo. Msemaji wa upande wa upinzani Lam Paul Gabriel amesema mapigano hayo yamezuka leo asubuhi katika jimbo la  Central Equatoria baada ya wanajeshi wa serikali kuvamia kambi za upinzani za kaunti ya Lainya na Kajo KejI
Solo
Share:

0 comments:

Post a Comment