Solomonitv brog ni Brog ya kisasa itakayo kuhabarisha habari zote katika Dunia hii,Kwa matangazo zaidi husisite kuwasiliana nami maana Bei ni nafuu sana habari whatsapp No +255 624 499 969 Au +255 759 290 764

Niko tayari kuunda serikali ya umoja wa kitaifa pamoja


Chama tawala nchini Kenya cha Jubilee, kimesema kiko tayari kuunda serikali ya umoja wa kitaifa pamoja na chama ODM cha Raila Odinga kuelekea uchaguzi mkuu wa 2022. Kiongozi wa walio wengi katika bunge la Kenya Aden Duale amesema bungeni kuwa chama cha Rais Kenyatta kiko tayari kushirikiana na chama cha Odinga, kwa sharti kwamba kinachukuwa nafasi nyingine lakini siyo ya Rais.

Solomonitv

Share:

0 comments:

Post a Comment