Solomonitv brog ni Brog ya kisasa itakayo kuhabarisha habari zote katika Dunia hii,Kwa matangazo zaidi husisite kuwasiliana nami maana Bei ni nafuu sana habari whatsapp No +255 624 499 969 Au +255 759 290 764

Hatutaki kutozwa kodi za WhatsApp,Facebook wala Instagram

Nchini Uganda, jeshi la polisi limetumia mabomu ya machozi kuwatawanya mamia ya waandamanaji ambao wanapinga tozo jipya la kodi kwa matumizi ya mitandao ya kijamii. Kodi hiyo inamlazimisha mtumiaji wa mitandao hiyo kama Facebook, WhatsApp na hata Instagram kulipa shilingi 200 za Uganda (Tsh 116, Ksh 5) kwa siku.

Solomoni Tv
Share:

0 comments:

Post a Comment