Solomonitv brog ni Brog ya kisasa itakayo kuhabarisha habari zote katika Dunia hii,Kwa matangazo zaidi husisite kuwasiliana nami maana Bei ni nafuu sana habari whatsapp No +255 624 499 969 Au +255 759 290 764

Sukari ya Madini ya Shaba na zebaki yakamatwa Nchini kenya


Polisi nchini Kenya wakamata maelfu ya tani za sukari inayosemekana kuwekwa madini ya shaba na zebaki katika mji wa OI Kalou ulioko jimbo la Nyandarua. Kisa hicho kinajiri siku mbili baada ya polisi kugundua magunia mengine 588 ya sukari huko Machakos. Inasemekana kuwa tani 4,500 za sukari hiyo tayari ziko sokoni. Kwa mujibu wa idara ya kemia ya serikali, sukari hiyo haifai kwa matumizi ya binadamu.
Solomonitv

Share:

0 comments:

Post a Comment