Solomonitv brog ni Brog ya kisasa itakayo kuhabarisha habari zote katika Dunia hii,Kwa matangazo zaidi husisite kuwasiliana nami maana Bei ni nafuu sana habari whatsapp No +255 624 499 969 Au +255 759 290 764

Viongozi wa CHADEMA wapewa Dhamana


Viongozi wa CHADEMA, akiwemo mwenyekiti wake Freeman Mbowe wamepewa dhamana na mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kwa masharti ya kuwa na wadhamini wawili wawili watakaosaini bondi ya shilingi milioni 20 na barua utoka kwa viongozi wa ama vijiji ama mtaa. Pia wametakiwa kuripoti kituo kikuu cha polisi Dar es Salaam.

Solomonitv

Share:

0 comments:

Post a Comment