Solomonitv brog ni Brog ya kisasa itakayo kuhabarisha habari zote katika Dunia hii,Kwa matangazo zaidi husisite kuwasiliana nami maana Bei ni nafuu sana habari whatsapp No +255 624 499 969 Au +255 759 290 764

UTATA WA MH MAGUFULI


Rais John Magufuli wa Tanzania ameibua tena utata kwa kauli yake inayotafautiana na dhana ya uzazi wa mpango, ambayo ni sera ya kitaifa na kimataifa inayolenga kuoanisha uwezo wa mataifa kiuchumi na huduma kwa watu wao. Mwanaharakati Maria Sarungi, anayeongoza kampeni ya kujenga uwelewa wa kijamii kupitia mawasiliano anaeleza alivyoipokea kauli hii.
Solomoni tv
Share:

0 comments:

Post a Comment