Solomonitv brog ni Brog ya kisasa itakayo kuhabarisha habari zote katika Dunia hii,Kwa matangazo zaidi husisite kuwasiliana nami maana Bei ni nafuu sana habari whatsapp No +255 624 499 969 Au +255 759 290 764

MWIMBAJI WA INJIRI TANZANIA


Mwimbaji wa Injili nchini Tanzania Lissa Jes
amepokelewa kwa shangwe za kutosha Nchini Kongo,anasema kwa sasa yupo nchini kongo baada ya kumaliza ziara yake atarejea nchini Tanzania hivyo atakuwa tayale kwa mialiko mbalimbali
Amesema kuwa watanzania wawe tayari kwa ujio mpya wa albam yake mpya,amesema kuwa yupo kikazi zaidi 
WhatsApp no 0710313460
Solomoni tv


Share:

0 comments:

Post a Comment