Solomonitv brog ni Brog ya kisasa itakayo kuhabarisha habari zote katika Dunia hii,Kwa matangazo zaidi husisite kuwasiliana nami maana Bei ni nafuu sana habari whatsapp No +255 624 499 969 Au +255 759 290 764

Rais wa Marekani Donald Trump amemfuta kazi waziri wake wa mambo ya nje Rex Tillerson


Rais wa Marekani Donald Trump amemfuta kazi waziri wake wa mambo ya nje Rex Tillerson hii leo, na nafasi yake inachukuliwa na mkurugenzi wa shirika la kijasusi la Marekani, CIA, Mike Pompeo. Aidha Trump amemteua Gina Haspel kuwa mkurugenzi wa CIA. Ni mwanamke wa kwanza kushika wadhifa huo.
Solomoni tv
Share:

0 comments:

Post a Comment