Solomonitv brog ni Brog ya kisasa itakayo kuhabarisha habari zote katika Dunia hii,Kwa matangazo zaidi husisite kuwasiliana nami maana Bei ni nafuu sana habari whatsapp No +255 624 499 969 Au +255 759 290 764

Kwa wapenzi wa Filamu za Afrika Mashariki.

Kuanzia tarehe 15 /10 Solomoni tv Itakuwa ikizindua program ya kuonyesha SINEMA za Africa mashariki
Katika mtandao wa YouTube inayokwenda kwa jina la Solomoni tv,halkadharika mkurugenzi na mwanzilishi wa chaneli iyo Mh Deogratias Mathias,amesema kuwa lengo la uzinduzi wa kuonyesha Filam za Africa mashariki litasaidia kukuza na mahusiano baina ya wasanii wa tasnia hiyo ya filam Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla.

"Hatuishii katika mtandao mmoja pekee isipokuwa tutakuwa kila mtandao wa jamii  LIVE tukikufikishia ukipendacho"
Facebook ni mtandao pendwa sana kwa apa Tanzania na Afrika Mashariki kwa ujumla hivyo Solomoni TV  kazi yake ni kukufikishia Burudani ndani na Nje ya nchi kupitia mtandao ulio jiunge .

Tutaleta mahojiano ya ana kwa ana na wasanii kutoka Africa ya  mashariki  wakizungumzia Tasnia ya sanaa zao 

Endelea kufuatilia katika mitandao ya kijamii facebook kwa jina Solomoni kingdom mathias,Istagram solomoni tv,youtube chanel solomoni tv
Kama wewe ni mfanyakazi,mfanyabiashara nafasi za matangazo bado ziko wazi...Tangaza sasa Biashara yako kupitia chaneli ya Solomoni TV ili unifaike sasa.
https://solomontvcom.wordpress.com
https://solomonitv.blogspot.com
Solomonitv@Gmail.com
0689499969demaki@gmail.com
Solomonitv.blogspot.com
WhatsApp No +255 624 499 969 

Share:

0 comments:

Post a Comment