Solomonitv brog ni Brog ya kisasa itakayo kuhabarisha habari zote katika Dunia hii,Kwa matangazo zaidi husisite kuwasiliana nami maana Bei ni nafuu sana habari whatsapp No +255 624 499 969 Au +255 759 290 764

wanadiplomasia 23 kufutwa kazi Nchini Uingereza

Uingereza imetangaza kuwa itawafukuza nchini wanadiplomasia 23 wa Urusi na kusitisha mawasiliano ya nagazi ya juu na ikulu ya Kremlin, kuhusiana na shambulio la sumu ya kuuwa mishipa ya fahamu dhidi ya jasusi wa zamani wa Urusi na binti yake nchini Uigereza. Waziri mkuu wa Uingereza Theresa May amealimbia bunge kuwa wanadiplomasia hao 23, waliotambuliwa kuwa maafisa wa upelelezi ambao hawakubainishwa, wana muda wa wiki moja kuondoka nchini humo.
Solomoni tv
Share:

0 comments:

Post a Comment