Solomonitv brog ni Brog ya kisasa itakayo kuhabarisha habari zote katika Dunia hii,Kwa matangazo zaidi husisite kuwasiliana nami maana Bei ni nafuu sana habari whatsapp No +255 624 499 969 Au +255 759 290 764

Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa ameonya dhidi ya uvamizi wa mashamba.


Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa ameonya dhidi ya uvamizi wa mashamba. Akizungumza hapo jana Jumapili Ramaphosa amesema hakuna mtu aliye na haki ya kuvamia ardhi na kukiuka haki za watu wengine. Chama cha African National Congress kimeanza kuchukua hatua kubadilisha katiba ili kiweze kuwapokonya watu mali pasipo kulipa fidia. Hatua hiyo ya chama cha ANC imeibua wasiwasi kua huenda mashamba yanayomilikiwa na wazungu yakavamiwa. Hata hivyo Ramaphosa amesema upokonyaji huo wa ardhi utafanyika kisheria na katika hali ambayo haitatishia uchumi na usalama wa chakula.
Solomoni tv
Share:

0 comments:

Post a Comment